Kwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa
magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue
kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana sababu zao
nyingine...
Kwa wangu nimebaini kuwa
zaidi ya asilimia sabini na tano ya wadada wanaovaa nguo ndefu na pia
wanaovaa suruali wana usafiri mwembamba...
Orodha hii haijahusisha wa
wale wanaovaa mavazi kulingana na imani zao... Imehushisha tu wale
wanaovaa mavazi ya kawaida ambayo hayana muingiliano na imani yeyote...
huu pia ukaendelea kubaini
kuwa wadada wenye guu za bia hupenda sana kuvaa visketi au magauni
mafupi na kuanika miguu yao hadharani...
Sichochei uvaaji wa nguo fupi kwa mabinti tafadhali
Related Posts
Dr KIGWANGALA ASHTUKIA SHIRIKA LILILOKUWA LIKICHOCHEA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Yabainika walikuwa na mradi wa kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja ukifadhiliwa na JHPIEGO - Baadh[...]
Mwanamke kujifungua 'mjukuu wake'
Maajabu ya Musa Mwanamke ambaye anataka kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu w[...]
PROFESA ALIYEBEBA MTOTO MGONGONI AMWAGIWA SIFA
Professor Honore Kahi Profesa mmoja wa chuo[...]
MARUFUKU KUFOLLOW SHOGA MITANDAONI AU KUVUTA SIGARA HADHARANI NDINI YA JIJI LA MAKONDA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amepiga marufuku biashara ya shisha, Sigara na Ushoga ji[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.