Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas,Marekani wamepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi.

Maafisa wa polisi katika mji ulio katika jimbo la Texas, wanasema mauaji hayo yametekelezwa na washambuliaji wawili wa kulenga shabaha.

Msako mkali unaendelea kuwasaka washambuliaji hao, mkuu wa polisi wa Dallas David Brown amesema.

Maafisa wengine saba wa polisi wamejeruhiwa, Bw Brown amesema.

Wawili wamefanyiwa upasuaji wa dharura na mmoja yumo katika hali mahututi.

Ufyatuaji risasi ulianza waandamanaji walipokuwa wakipitia barabara za mji na kuwafanya waandamanaji kukimbilia usalama wao.

Maandamano hayo yalitokana na kuuawa kwa wanaume wawili weusi, Philando Castile jimbo la Minnesota na Alton Sterling eneo la Baton Rouge jimbo la Louisiana.
============================

Four Dallas police officers were killed and seven others were wounded by snipers on Thursday night during a demonstration protesting the police shootings in Minnesota and Louisiana this week, according to Chief David O. Brown of the Dallas police.

One suspect was arrested late Thursday after a shootout with the Dallas police, the Police Department said on Twitter.

A second man, whose photo the Police Department had released as a “person of interest,” had turned himself in.

Chief Brown said the shooting was carried out by two snipers who fired down on a demonstration in the city’s downtown area that until then had been peaceful.

“Some were shot in the back,” the chief said. “We believe that these suspects were positioning themselves in a way to triangulate on these officers.”

A civilian in the crowd of almost 1,000 people was also wounded.

The police were also combing downtown Dallas for what they believe was a bomb planted by the snipers as the heart of the country’s ninth-largest city was put on lockdown.

Post a Comment

 
Top