Zaidi ya watu 79 wamefariki katika mashambulizi mawili ya bomu yaliyokumba mji mkuu wa Iraq Baghdad. Watu wengine 130 wamejeruhiwa vibaya katika mashambulizi hayo yaliyodaiwa kutekelezwa na kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic Stat

Milipuko hiyo inatokea wiki moja baada ya wanajeshi wa Iraq kuukomboa mji wa Fallujah kutoka kwa Islamic State.
Kundi la Islamic State lilidai kuhusika kwenye shambulizi hilo ambapo bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari lililipuka karibu na mkahawa katika wilaya ya Karada na kuwaua takriban watu 6.
Zaidi ya watu 20 na walijeruhiwa

Watu wengine 130 wamejeruhiwa vibaya
Bomu la pili lililipuka baadaye kaskazini mwa mji wa Baghdad.
Milipuko hiyo inatokea wiki moja baada ya wanajeshi wa Iraq kuukomboa mji wa Fallujah kutoka kwa Islamic State

Post a Comment

 
Top